Uchambuzi Wa Fasihi - Shadrack K Nyagah - Livros - Globeedit - 9786200620866 - 21 de março de 2021
Caso a capa e o título não sejam correspondentes, considere o título como correto

Uchambuzi Wa Fasihi

Preço
R$ 283,90
excluindo impostos

Item sob encomenda (no estoque do fornecedor)

Espera-se estar pronto para envio 1 - 7 de out
Receba avisos sobre novos lançamentos de Shadrack K Nyagah
Adicione à sua lista de desejos do iMusic

Ainda não avaliado

Ni kitabu kinacholenga kuchambua kazi tatu teule za fasihi andishi. Kitabu hiki kinaangazia riwaya ya Chozi la Heri, tamthlia ya Kigogo na hadithi fupi ya Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Kitabu hiki kimetayarishwa kimaksudi kwa lengo la kumwelekeza mwanafunzi, msomi na mpenzi wa fasihi ya Kiswahili katika uchambuzi wa vipengele mbalimbali vya fasihi andishi vikiwa ni pamoja na msuko, dhamira, maudhui, mbinu za lugha, wahusika na uhusika wao. Uchambuzi huu umefanywa kwa kuoanisha dhamira ya mwandishi na hali halisi katika jamii. Isitoshe, mchakato mzima wa kuwaumba wahusika na kuyajenga maudhui umeweza kuelezwa kwa njia sahili inayomwezesha msomaji kuielewa zaidi kazi husika. Mwongozo huu unaweza kutumikizwa katika kuchambua tanzu zingine sawa na hizi. Kitabu hiki pia kina maswali kadha ya kila kitabu kilichoshughulikiwa pamoja na majibu yake. Kila swali linakusudia kumchokonoa msomaji akili nayo majibu yakalenga matarajio ya watahini. Ni kitabu cha aina yake ambacho kinaweza kutumika katika shule za upili na vyuo.

Mídia Livros     Paperback Book   (Livro de capa flexível e brochura)
Lançado 21 de março de 2021
ISBN13 9786200620866
Editoras Globeedit
Páginas 128
Dimensões 152 × 229 × 8 mm   ·   209 g
Idioma Afrikaans