Kolonia Santita: Laana Ya Panthera Tigrisi - Enock Maregesi - Livros - AuthorHouseUK - 9781477222959 - 12 de setembro de 2012
Caso a capa e o título não sejam correspondentes, considere o título como correto

Kolonia Santita: Laana Ya Panthera Tigrisi Swahili edition

Preço
R$ 175,90
excluindo impostos

Item sob encomenda (no estoque do fornecedor)

Espera-se estar pronto para envio 25 de set - 7 de out
Receba avisos sobre novos lançamentos de Enock Maregesi
Adicione à sua lista de desejos do iMusic

Ainda não avaliado

Também disponível como:

Kolonia Santita: Laana Ya Panthera Tigrisi ni hadithi ya kusisimua ya kijasusi na madawa ya kulevya iliyoandikwa na Enock Abiud Maregesi. Inazungumzia vita kati ya Tume ya Dunia ya Umoja wa Mataifa, ya kudhibiti madawa ya kulevya na ugaidi wa kimataifa, World Drugs Enforcement Commission (WODEC) au Tume ya Dunia; na shirika kubwa la madawa ya kulevya la Kolonia Santita (CS-14) la Kolombia na Meksiko. Inaelezea, kwa kinagaubaga, jitihada za pamoja kati ya Tume ya Dunia, Marekani na Meksiko za kuwasaka na hatimaye kuwatia nguvuni viongozi nduli wa CS-14; na kuzuia shehena (kubwa) ya madawa ya kulevya na malighafi ya nyukilia: kwenda Afrika, Asia, Amerika, Ulaya - na kung'oa mizizi ya shirika la CS-14, lote, katika nchi za Hemisifi a ya Magharibi - na duniani kwa jumla. Hiki ni kitabu cha kwanza cha aina yake cha kimataifa katika Tanzania. Lengo lake si tu kukata kiu ya wapenzi wa riwaya za kipelelezi na kufufua mwamko wa usomaji wa vitabu; ni kuleta, hali kadhalika, ufahamu na burudani ya kimataifa kwa Watanzania, Wakenya na Waganda - na jamii nzima ya Afrika ya Mashariki inayozungumza Kiswahili - na walowezi wa jamii yote ya Kiswahili duniani.

Mídia Livros     Paperback Book   (Livro de capa flexível e brochura)
Lançado 12 de setembro de 2012
ISBN13 9781477222959
Editoras AuthorHouseUK
Páginas 406
Dimensões 26 × 152 × 229 mm   ·   594 g
Idioma Swahili